sw_pro_text_reg/15/13.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 13 Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo. \v 14 Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.