sw_pro_text_reg/15/07.txt

1 line
179 B
Plaintext

\v 7 Midomo ya wenye hekima husambaza maarifa, bali mioyo ya wapumbavu haifanyi hivyo. \v 8 Yehova anachukia sadaka za watu waovu, bali maombi ya watu waadilifu ndiyo furaha yake.