sw_pro_text_reg/14/17.txt

1 line
197 B
Plaintext

\v 17 Yeye ambaye anakuwa na hasira kwa haraka hufanya mambo ya kipumbavu, na mtu anayefanya hila mbaya huchukiwa. \v 18 Wajinga hurithi upumbavu, lakini watu wenye hekima wamezingirwa kwa maarifa.