sw_pro_text_reg/14/05.txt

1 line
174 B
Plaintext

\v 5 Shahidi mwaminifu hasemi uongo, bali shahidi wa uongo hupumua uongo. \v 6 Mwenye dharau hutafuta hekima na hakuna hata, bali maarifa huja kwa urahisi kwa mwenye ufahamu.