sw_pro_text_reg/12/01.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 1 Anayependa mafundisho hupenda maarifa, bali yule anayechukia maonyo ni mpumbavu. \v 2 Yehova humpa fadhila mtu mwema, bali mtu ambaye hufanya mipango ya ufisada atahukumiwa.