sw_pro_text_reg/11/27.txt

1 line
195 B
Plaintext

\v 27 Yule ambaye hutafuta mema kwa bidii pia anatafuta kibali, bali yule atafutaye ubaya atapata ubaya. \v 28 Wale wanaotumaini utajiri wataanguka, bali kama jani, wale watendao haki watasitawi.