sw_pro_text_reg/11/25.txt

1 line
202 B
Plaintext

\v 25 Mtu mkarimu atafanikiwa na yule awapaye maji wengine atapata maji yake mwenyewe. \v 26 Watu wanamlaani mtu ambaye hukataa kuuza nafaka, bali zawadi njema hufunika kichwa chake ambaye huuza nafaka.