sw_pro_text_reg/10/24.txt

1 line
180 B
Plaintext

\v 24 Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa. \v 25 Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.