sw_pro_text_reg/10/06.txt

1 line
195 B
Plaintext

\v 6 Zawadi kutoka kwa Mungu zipo juu ya kichwa cha wale watendao haki; bali kinywa cha uovu hufunikwa kwa jeuri. \v 7 Mtu atendaye haki anatufurahisha tunapomkumbuka, bali jina la mwovu litaoza.