sw_pro_text_reg/07/04.txt

1 line
168 B
Plaintext

\v 4 Mwambie hekima, "wewe ni dada yangu," na ufahamu mwite jamaa yako, \v 5 ili ujitunze mwenyewe dhidi ya mwanake haramu, dhidi ya mwanamke mgeni mwenye maneno laini.