sw_pro_text_reg/04/22.txt

1 line
188 B
Plaintext

\v 22 Maana maneno yangu ni uzima kwa wenye kuyapata na afya katika mwili wao. \v 23 Ulinde salama moyo wako na uukinge kwa bidii zote; kwa kuwa katika moyo hububujika chemichemi za uzima.