sw_pro_text_reg/04/18.txt

1 line
207 B
Plaintext

\v 18 Bali njia ya mwenye kutenda haki ni kama mwanga ung'aao, huangaza zaidi na zaidi hadi mchana inapowasili kwa ukamilifu. \v 19 Njia ya waovu ni kama giza - hawajui ni kitu gani huwa wanajikwaa juu yake.