sw_pro_text_reg/01/31.txt

1 line
267 B
Plaintext

\v 31 Watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa kwa matunda ya hila zao wenyewe. \v 32 kwa maana wajinga hufa wanaporudi nyuma, na kutojali kwa wapumbavu kutawaangamiza. \v 33 Bali kila anisikilizaye ataishi kwa usalama na atapumzika salama pasipo hofu ya maafa.