sw_pro_text_reg/01/26.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 26 Nitacheka katika taabu yenu, nitawadhihaki wakati wa kupatwa taabu- \v 27 hofu ya kutisha itawapata kama tufani na maafa yatawakumba kama upepo wa kisulisuli, taabu na uchungu vitawapata.