\v 14 Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu. \v 15 Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki. \v 16 Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.