sw_pro_text_reg/29/11.txt

1 line
170 B
Plaintext

\v 11 Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe. \v 12 Kama mtawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.