\v 9 Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?" \v 10 Lala kidogo, sinzia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo" - \v 11 ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.