sw_pro_text_reg/10/18.txt

1 line
188 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 18 Yeye afichaye chuki anamidomo ya uongo, na yeye anayesambaza kashfa ni mpumbavu. \v 19 Katika maneno mengi, hapakosi uhalifu, bali aliyemwangalifu katika usemi wake ni mwenye busara.