sw_pro_text_reg/14/11.txt

1 line
159 B
Plaintext
Raw Normal View History

\v 11 Nyumba ya waovu itaangamizwa, bali hema ya watu waaminifu itasitawi. \v 12 Kuna njia ambayo huonekana sawa kwa mtu, lakini mwisho wake huelekea mauti tu.