1 line
214 B
Plaintext
1 line
214 B
Plaintext
|
\v 19 Maana mume wangu hayupo nyumbani kwake; amekwenda safari ya mbali. \v 20 Alichukua mkoba wa fedha; atarudi siku ya mwezi mpevu. \v 21 katika maneno yake mengi akamshinda; na kwa midomo yake laini anampotosha.
|