sw_pro_text_reg/02/11.txt

1 line
196 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 11 Busara itakulinda, ufahamu utakuongoza. \v 12 Vitakuokoa kutoka katika njia ya uovu, kutoka kwa wale waongeao mambo potovu. \v 13 Ambao huziacha njia za wema na kutembea katika njia za giza.