\v 1 Viongozi wa watu waliishi Yerusalemu, na watu wengine walipiga kura ili kuleta mmoja kati ya watu kumi kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, na wengine tisa walibakia katika miji mingine. \v 2 Na watu wakawabariki wote waliojitoa kwa hiari kuishi Yerusalemu.