sw_job_text_reg/09/30.txt

1 line
167 B
Plaintext

\v 30 Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi, \v 31 Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.