sw_job_text_reg/31/03.txt

1 line
177 B
Plaintext

\v 3 Nilikuwa nafikiri kwamba majanga ni kwa watu wasio na haki, na misiba ni kwa ajili ya watu watendao mabaya. \v 4 Je Mungu hazioni njia zangu na kuzihesabu hatua zangu zote?