sw_job_text_reg/30/07.txt

1 line
166 B
Plaintext

\v 7 Walilia kwa uchungu porini kama punda; chini ya vichaka walikutana. \v 8 Walikuwa uzao wa wapumbavu, hakika, wa watu wasiofaa; waliondolewa duniani kama waarifu.