sw_job_text_reg/09/27.txt

1 line
277 B
Plaintext

\v 27 Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha, \v 28 Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia. \v 29 Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?