\v 13 Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake. \v 14 Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye? \v 15 Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.