sw_job_text_reg/09/01.txt

1 line
214 B
Plaintext

\v 1 Kisha Ayubu akajibu na kusema, \v 2 "kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu? \v 3 Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.