sw_job_text_reg/08/19.txt

1 line
206 B
Plaintext

\v 19 Tazama, hii ni "furaha" ya mtu mwenye tabia hiyo; mimea mingine itachipuka toka katika udongo ule ule mahali pake. \v 20 Tazama, Mungu hatamtupa mtu asiye na kosa; wala hatawathibitisha watendao uovu.