sw_job_text_reg/06/28.txt

1 line
263 B
Plaintext

\v 28 Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu. \v 29 Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki. \v 30 Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?