sw_job_text_reg/06/24.txt

1 line
178 B
Plaintext

\v 24 Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea. \v 25 Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?