sw_job_text_reg/06/07.txt

1 line
281 B
Plaintext

\v 7 Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho. \v 8 Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana: \v 9 kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!