sw_job_text_reg/05/20.txt

1 line
245 B
Plaintext

\v 20 Wakati wa njaa atakukomboa na kifo, na kwa uwezo wa upanga wakati wa vita. \v 21 Wewe utafichwa na mateso ya ulimi; na usitishike na uharibifu utakapokuja. \v 22 Wewe utaufurahia uharibifu na njaa, na hutatishika na wanyama wakali wa nchi.