sw_job_text_reg/05/14.txt

1 line
265 B
Plaintext

\v 14 Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, na hupapasa mchana kama vile ni usiku. \v 15 Lakini yeye huokoa maskini kwa upanga wa vinywa vyao na mhitaji kwa mkono wa mtu mwenye nguvu. \v 16 Hivyo mtu maskini ana matumaini, na udhalimu hufumba kinywa chake mwenyewe.