sw_job_text_reg/05/06.txt

1 line
167 B
Plaintext

\v 6 Kwa kuwa magumu hayatoki udongoni; wala taabu haichipuki katika nchi. \v 7 Badala yake, wanadamu huzaliwa kwaajili ya taabu, kama tu cheche za moto zirukavyo juu.