|
\v 8 Tafadhari uwaulize vizazi vya zamani, na utie bidii katika hayo mababu zetu waliyojifunza. \v 9 (Sisi ni wa jana tu na hatujui chochote kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli). \v 10 Je hawatakufunza wao na kukuambia? Je hawatatamka maneno yatokayo mioyoni mwao? |