sw_job_text_reg/34/31.txt

1 line
355 B
Plaintext

\v 31 Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena; \v 32 nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.' \v 33 Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.