sw_job_text_reg/24/20.txt

1 line
172 B
Plaintext

\v 20 Mama yake atamsahau; polepole funza watamuuma; hatakumbukwa tena; kwa hiyo, waovu watavunjika kama mti. \v 21 Mwovu anamrarua mgumba; hawatendi jema lolote kwa mjane.