sw_job_text_reg/42/12.txt

1 line
298 B
Plaintext

\v 12 Yahweh aliubarikiwa mwisho wa maisha ya Ayubu kuliko mwanzo wake; alikuwa na kondoo kumi na nne elfu, ngamia elfu sita, jozi elfu moja, na punda jike elfu moja. \v 13 Pia alikuwa na wana saba na mabinti watatu. \v 14 Binti wa kwanza alimwita Yemima, na wa pili Kezia, na wa tatu Kerenihapuki.