sw_job_text_reg/29/23.txt

1 line
172 B
Plaintext

\v 23 Waliningoja kama kungoja mvua; waliyathamini maneno yangu, kama walivyotamani mvua iliyokawia. \v 24 Niliwafurahia bila wao kutarajia; hawakukataa uzuri wa uso wangu.