sw_job_text_reg/28/23.txt

1 line
198 B
Plaintext

\v 23 Mungu hufahamu njia ya kuipata; anapafahamu ilipo. \v 24 Kwani uona miisho yote ya dunia na huona chini ya mbingu zote. \v 25 Hapo kale, alifanya nguvu za upepo na kuyagawanya maji kwa kipimo.