sw_job_text_reg/11/07.txt

1 line
288 B
Plaintext

\v 7 Je, wewe unaweza kumfahamu Mungu kwa kumtafuta yeye? Unaweza kumtambua aliye mkuu kwa ukamilifu? \v 8 Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? \v 9 Vipimo vyake ni virefu kuliko nchi, na vipana kuliko bahari.