sw_job_text_reg/39/07.txt

1 line
193 B
Plaintext

\v 7 Hucheka kwa dharau katika kelele katika mji; hasikilizi kelele za mwongozaji. \v 8 Hutembeatembea juu ya milima kama malisho yake; huko hutafuta kila mmea ulio wa kijani kwa ajili ya kula.