sw_job_text_reg/31/26.txt

1 line
303 B
Plaintext

\v 26 Ikiwa nimeliona jua lilipowaka, au mwezi ukitembea katika mng'ao wake, \v 27 na kama moyo wangu umevutwa kwa siri kuviabudu, ili kwamba mdomo wangu umeubusu mkono wangu katika ibada yao - \v 28 hili nalo pia lingekuwa ni ubaya wa kuadhibiwa na waamuzi, kwa kuwa ningekuwa nimemkana Mungu aliyejuu.