sw_job_text_reg/31/09.txt

1 line
235 B
Plaintext

\v 9 Na kama moyo wangu umevutiwa na mwanamke mwingine, ikiwa nimelala na mke wa jirani yangu katika hali ya kuvizia katika mlango wake, \v 10 na ndipo mke wangu na asage nafaka kwa mwanaume mwingine, na wanaume wengine na walale naye.