2 lines
290 B
Plaintext
2 lines
290 B
Plaintext
\v 15 Hainunuliwi kwa dhahabu; wala hailinganishwi na fedha. \v 16 Haiwezi kuthamanishwa na dhahabu
|
|
inayo patikana kwenye ardhi ya Ofiri, kwa jiwe jeusi la thamani au mawe yenye thamani. \v 17 Dhahabu angavu hailingani nayo kwa thamani; wala haiwezi kubadilishwa kwa vito vya dhahabu safi. |