sw_job_text_reg/09/04.txt

1 line
301 B
Plaintext

\v 4 Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? - \v 5 ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake - \v 6 ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.