sw_job_text_reg/06/01.txt

1 line
253 B
Plaintext

\v 1 Kisha Ayubu akajibu na kusema, \v 2 "Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani! \v 3 Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.