sw_job_text_reg/03/11.txt

1 line
196 B
Plaintext

\v 11 Kwanini si-kufa wakati lipotokeza katika tumbo la uzazi? Kwanini sikuitoa roho yangu hapo mama aliponizaa? \v 12 kwanini magoti yake yalinipokea? Kwanini maziwa yake yanipokee hata ninyonye?