\v 16 Ninayachukia kabisa maisha yangu; sitamani siku zote kuwa hai; usinisumbue maana siku zangu hazifai. \v 17 Je mtu ni nini hata ukatia bidii kwake, na ukaweka akili yako kwake, \v 18 na kumwangalia kila asubuhi, na kumjaribu kila mara?